nmb

nmb

Wednesday, April 10, 2013

China yahimizwa kuwekeza sekta ya Utalii nchini Tanzania

Alistide Karaze (kulia) kutoka Bodi ya Utalii nchini akigawa kipeperushi kinachoelezea vivutio vya utalii nchini katika maonyes 
Alistide Karaze (kulia) kutoka Bodi ya Utalii nchini akigawa kipeperushi kinachoelezea vivutio vya utalii nchini katika maonyesho ya COTMM 2013  yanayofanyika jijini Baijing na kushirikisha mataifa mbalimbali katika masuala ya utaliiPICHA NA PASCAL SHELUTETE WA TANAPA Bango linaloonyesha yalipo mabanda ya nchi mbalimbali zinazoshiriki maonyesho ya COTMM 2013 jijini Beijing nchini China.
  Bango linaloonyesha yalipo mabanda ya nchi mbalimbali zinazoshiriki maonyesho ya COTMM 2013 jijini Beijing nchini China
Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii Dk. Aloyce Nzuki (kulia) na Mkurugenzi wa Idara ya Utalii Ibrahim Mussa wakimsikilizaMkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii Dk. Aloyce Nzuki (kulia) na Mkurugenzi wa Idara ya Utalii Ibrahim Mussa wakimsikiliza mmoja wa wageni waliotembelea banda la Tanzania Mwenyekiti ya Bodi ya Utalii Balozi Charles Sanga (wa kwanza kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Allan Kijazi wakitoa taarifa

Mwenyekiti ya Bodi ya Utalii Balozi Charles Sanga (wa kwanza kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Allan Kijazi wakitoa taarifa za vivutio vya utalii  kwa  mmoja wa wageni waliotembelea banda la Tanzania   katika maonyesho hayo

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

AddThis