Mpaka 2011 mji wa Miami ambao upo ndani ya Jimbo la Florida ulikua na wakazi milioni mbili na laki tano lakini jimbo zima lilikua na watu zaidi ya milioni 19.
.
Anasema kwenye mitaa mbalimbali ya Miami aliona magari mengi yakiwa yamepaki tu pembeni ya barabara kama urembo.

.
Magari ya zamani sana ambayo kwa sasa yana thamani.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Pasafi sana.

.
.
.
.
.
.
.
.
.
Huyu jamaa alikua anazunguka akiimba wimbo wa “Umbrella” wa Rihanna ili apewe pesa.

Maisha.