nmb

nmb

Sunday, September 30, 2012

This is Africa, This is Tanzania, This is Mount Kilimanjaro


Mlima KilimanjaroMount Kilimanjaro
Mount KilimanjaroElephants at the foot of Mount Kilimanjaro.
Kilimanjaro GlacierGlaciers at the top of Mount kilimanjaro
Kilimajaro peak 19,341 ft from sea levelMount Kilimanjaro is the world's highest free standing mountain and the tallest mountain in Africa, lies in northeastern Tanzania in Kilimanjaro region. The mountain has two volcanic peaks, spaced about 11 km apart, with the higher of the two rising 5,895 m (19,341 ft).

CHEKI TAMASHA LA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO LILIVYOKUA


 mtoto mwenye umri wa miaka 4 Nyambuli Mganga akiwa na kikundi cha sanaa na utamaduni  kijulikanacho kwa jina la Utandawazi Theatre Group Matwigha  Chalo kutoka Nansole Ukerewe akionyesha umahiri wake wa kucheza ngoma ya Ukerewe inayojulikana kwa  jina la Obusimbula  katika meza kuu ,ambaye amekuwa kivutio  kutokana na kucheza kwake mwenyewe bila kuelelezwa wakati maonesho ya 31 ya Tamasha na Sanaa na Utamaduni liliyofanyika katika Taasisi ya Sanaa na Utamaduni(TAsuBA) iliyopo Bagamoyo, mkoa wa Pwani ,. Nyambuli ambaye anarithi utamaduni huo kutoka kwa mama yake, Wiliherimina Kebela . Maonesho hayo yamaeambatana  na Sherehe za mahafali ya 23 ya  taasisi hiyo zilizofanyika  jana(juzi).

Baadhi ya wahitimu wa Stashahada ya Juu ya Sanaa na Utamaduni wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasm Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya  Mwenyekiti  wa Bodi ya  Ushauri ya Taasisi ya Sanaa na   Utamaduni(TaSuBa), Profesa Elias Jengo(kushoto) ambaye ni Mhadhili  wa taaluma hiyo katika Chuo Kikuu cha Dares Salaam(UDSM)i,  aliyeko katikati ni Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya  Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Vijana ,Utamaduni na Vijana, Profesa Hermas Mwansoko na kulia kwake ni Mtendaji Mkuu wa taasisi hiyo, Juma Bakari.Wengine ni baadhi ya wakufunzi
Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya  Mwenyekiti  wa Bodi ya  Ushauri ya Taasisi ya Sanaa na   Utamaduni(TaSuBa), Profesa Elias Jengo ambaye ni Mhadhili  wa taaluma hiyo katika Chuo Kikuu cha Dares Salaam(UDSM),akimpatia cheti mhitimu wa Stashada ya Sanaa na Utamaduni , Charles Kiswaga katika mahafali ya 23 ya yaliyofanyika kwenye ukumbi wa maonesho chuoni hapo. Katikati Mtendaji Mkuu wa taasisi hiyo Juma Bakari  na kulia ni  Mkuu wa  Idara ya Taaluma  Michael Kadinde
  Stori na Blog za mikoa Pwani yetu

The Greatest wildlife migration show on earth" !


Serengeti national park is Tanzania's oldest and most popular national park, also a world heritage site and recently proclaimed one of the 7th africa wonder, the Serengeti is famed for its annual migration, when some six million hooves pound the open plains, as more than 200,000 zebra and 300,000 Thomson's gazelle join the wildebeest’s trek for fresh grazing. Serengeti national park is 14,763 sq km in size, The name Serengeti is a Masai word meaning endless plains.Wildebeest in Serengeti plains.

Along the migration Wildebeest cross rivers packed with Crocodiles.
Female Lion hunting the Wildebeest along the migration route.

The Serengeti is famed for its annual migration when more than 1,500,000 wildebeest follow some 200,000 zebra in a 2,000 km round pilgrimage in search of fresh grazing and water. It is "The greatest wildlife show on earth" !

Saturday, September 29, 2012

CHATU AMEZA MTOTO, CHEKI HAPA

 Kiumbe huyu...Chatu(Python) ndo kati ya nyoka wachache duniani wenye meno zaidi ya 2 maana hawana sumu. Meno yao hutumika kukamata msosi mdoni na kuubana ili usikimbie. wanaua kwa kubana na kujizungusha kwa mnyama kumziba pumzi na kuvunja vunja mbavu na mifupa. Hapa alimeza Impala (Swala pala) . bahati mbaya akanasa kwenye fensi ya umeme..South border to Botswana...wadau wakamdaka akikata roho....Follow...

Hapa ameona fensi ndo nuksi akaamua king'ata kumbe ndo anapigwa shoti zaidi


Mnyama mwenewe aliyemeza anasazi kama hii hapa...alafu mtamu kuliko mbuzi,anaitwa mbawala kwa waliowahi tembelea mbuga za wanyama watakua wanamfahamu vizuri


Wadau walimchinja wakapata mboga mbili tofauti...nyama choma ya swala na mapande ya chatu ya kumwaga...Yummy!!


Huyu(sio chatu) alimeza yai kubwa la Mbuni (Ostrich). Hapo najiuliza je Nazi imeingiaje kwenye tumbo la nyoka!! viumbe hawa wamepewa uwezo wa kula vitu vikubwa sana kuliko hata maumbile yao lakini lazima waishi na lazima wale.


akameza yai linye ukubwa kama picha inavyoonyesha hapo chini

 

Huu Ni Mzinga wa Moja Chatu, ambaye siku za hivi karibuni alikutwa akiwa amemeza mtoto mdogo, Kwa wale wazazi wenye watoto wadogo hii kuweni nayo makini sana maana usije potelewa na mtoto kumbe CHATU KAMEZA.

Friday, September 28, 2012

Haya ndio Majiji ya Gharama zaidi Dunian /Top 10 Most Expensive Cities In The World In 2012

World contains number of beautiful cities. People love to live here. With the passage of time the expense of life is increasing. Every one wants a luxury life but it depends on their budgets. You are looking forward to know about the cities which are most expensive. New Economist Intelligence Unit World Wide has done a cost of living survey. They worked on prices of various goods, food and transportation and schools. These cities are difficult for average earning people but luxury life loving people have a better choice to live their life here. According to that survey we are providing here the list of Top 10 Most Expensive Cities In The World.

10. Frankfurt ( Germany)

Frankfurt is rated the World’s 10th most expensive city in the world. It is the financial and transportation centre of Germany. This beautiful city has the all facilities. One of them is the busiest and beautiful airport. This city also contains the world’s 7 major banks. In survey this city got the score of 137. As comparing with New York this city is 37 % more expensive.

9. Singapore

The cost of living score here is 142. The things here are so expensive which include every thing. Consumer product’s cost is too much high here. Petrol prices reaches aat 1.70 dollars. Gas prices are also high. If we compare it with New York then it is 42% more expensive than New York. This beautiful city is ranked at number 9.

8. Melbourne ( Australia)

One of the beautiful country in the world Australia has a quality life for their citizens. Melbourne is the number 8th expensive city in the world. This city is holding its last year position in this list. The prices of some things are coming down but still number of daily use items are expensive. In a survey it is observed that the price of one bread is 2.28 dollars. You will surprised to know that the price of bread in the last year was 3.51 dollars. This city got the cost of living score 145.

7. Sydney ( Australia)


Australia is again included in this list. In a survey Sydney got the score 147 and ranked at number 7. Australia is the only country that contains more than one expensive city. Sydney is 50% more expensive than New York. Petrol prices are not constant here. Petrol prices have risen 3 times. The prices of food items are also increased here.

6. Paris ( France)


France has a number of beautiful cities but Paris is the most beautiful. This city is the travel destination of every person. But living here is so expensive. Paris is ranked at number 6 spot with cost of living score. Rate of number of items are boost up. If we look at previous year the loaf of bread was of 5.36 dollars, but now it has increased up to 23% and unleaded gasoline with the price of 1.67 dollars per liter has boost up about 30% now. The cost of living score here is 150.

5. Oslo ( Norway)

The cost of living score here is 156. This city is at 5th spot in this list. In last year it was at number 3 and has dropped down 2 figures. The life here is much expensive but the beauty of this city forget this thing. Oslo is the capital city of Norway and famous about its beauty. This city is 56% more expensive than New York.

4. Osaka ( Japan)

Osaka is a city of Japan. It is ranked at number 3 in term on cost of living. That is so closer to Tokyo. The currency of Japan is strong now a days. This is one of the important and beautiful city of the Japan.

3. Geneva ( Switzerland)

Geneva is a beautiful place and is a travel destination. Geneva is ranked at number 3 . This happened due to rise of 30% point.This city has become so expensive only reason is its strong currency.

2. Tokyo ( Japan)


Tokyo with the score of 166 is ranked at number 3. This life in Tokyo is so expensive. The strong currency of Japan is having a too much role in making it so expensive. In a survey it is reported that Tokyo city is 66% more expensive than New York. Tokyo in the last year was also at this spot. No chances occurs in the score.
1. Zurich ( Switzerland)

Zurich is the most beautiful city of the Switzerland. This city is at the top in this list. In the past 2o years it is happened first time that Switzerland city Zurich ranks as most expensive city in the world. In the last year Zurich was at 4th position but in 2012 but rise of 34% points it jumps at number 1 position. The Score of Zurich is 170. It is 70% more expensive than New York.

EPUKA KULA MISHIKAKI SEHEMU ISIYOELEWEKA,!!!!! ANGALIA HAPA

Ila kama we wa iringa poa tu
 
Epuka kula mishikaki kwenye migahawa isiyoeleweka,hiyo ni mitaa flani mateja wakichuna mbwa watengeneze mishikaki,....



  Bwana Rajabu akimchuna mbwa kama alivyokutwa.

Rajabu akimweka kwenye kiroba mbwa huyo tayari kwa safari.
 Rajabu akiwa kafungwa mikono baada ya kula kichapo.

Wananchi wakimpiga picha bwana Rajabu.

-Ilikuwa ni kwa ajili ya mishikaki, supu ya kuuza
UKISTAJABU ya Musa utaona ya firauni, hali hiyo iliwatokea wakazi wa Ubungo Kibangu pale mkazi mmoja aliyetajwa kwa jina la Rajabu aliponaswa na wananchi akimchuna mbwa.Baada ya Rajabu kufumwa akifanya kitendo hicho, alipewa kibano na wananchi wenye hasira kali akakiri kwamba mbwa huyo alikuwa akimuandaa ili akamuuzee kama mishikaki na supu kwa wateja wake.

Baada ya wananchi kumtilia shaka anapopata nyama ya kuuza kutokana na hali yake ya kiuchumi kuwa duni, waliunda kikosi kazi cha kumchunguza ndipo arobaini yake ikatimia.

Mtoa habari huyo alisema baada ya wananchi kuchukizwa na kitendo hicho waliamua kumfikisha kijana huyo Kituo cha Polisi cha Kibangu. “Kijana huyo alipohojiwa na polisi alikiri kufanya biashara hiyo kwa muda mrefu,” kilisema chanzo chetu, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, ACP Charles Kenyela alisema kuwa taarifa juu ya tukio hilo hajazipata na akaahidi kuzifuatilia na kusisitiza kuwa kama ni kweli kijana huyo alifanya kitendo hicho atachukuliwa hatua za kisheria.
Stori na  globalpublisher

Thursday, September 27, 2012

JE WAMJUA MJUSI MKUBWA WA TANZANIA ALIEKO UJERUMANI ANAYETAKA KURUDISHWA /GERMANY TO RETURN DINOSAUR REMAINS SOON, HOUSE TOLD


The governments of Tanzania and Germany will soon strike an agreement for the return to Lindi region of the remains of huge lizard species known as a dinosaur, which were taken to the European country during the colonial era, Parliament heard yesterday.

The dinosaur remains were discovered in 1912 at Tandeguru village, Mipingo ward in Lindi region, and were taken for preservation in Humbolt museum.

German to return Tanzania's Dinosur remainsDinosaur Skeleton

In a basic question in the House, Mchinga legislator Said Mtanda had wanted the government to explain why it was delaying setting up modalities for returning the lizards - one of the historical and cultural tourist potentials.

“The government should tell when Tanzania and Germany will agree and return the lizards…we want the people, particularly residents living in Manyara and Mipingo wards, to benefit from income generated from them,” said legislator.

Responding, Minister for Natural Resources and Tourism  admitted that there was increasing public and stakeholders’ concerns over the return of the lizards, but said currently the government lacked facilities to preserve them.

“The management of Germany Humbolt museum are more than ready to give back the remains of the dinosaur,” observed the minister.

He clarified that the government had already initiated talks with the Humbolt museum management on the modalities of setting up proper research facilities and structures or a museum in Tendaguru, where the dinosaur originated.

“The agreement for the implementation of this project is now under discussions by both sides (Germany and Tanzania)…most probably, it will be signed officially in three months’ times. The agreement will include provisions for returning the dinosaur,” informed Maige.

According to the minister, the agreement, initiated by a Tanzanian delegation that visited Germany in April last year provides for training of specialists in historical and cultural preservation of the lizards’ remains at the masters and doctorate level.

HIVI NDIVYO MAHAFALI YA 45 SHULE YA SEKONDARI MOROGORO YALIVYOKUWA


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

AddThis